Allah Mwenye kupokea toba.

Allah Mwenye kupokea toba.

Allah Mwenye kupokea toba

Hakika Allah Ni Mwenye kupokea toba. {Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kupokea toba Na Mwenye kurehemu.} (At-tawba: 118)

“Mwenye kupokea toba”… Aliye amrisha toba Kwa Waja Wake, kWake Ni neema Na ukarimu Wake, Bali aliWaahidi mengi zaidi ya hayo, Nao Ni kuyafanya mabaya kuWa mema.

“Mwenye kupokea toba”… Ambaye aNaWathibitisha Waja Wake katika toba, NakuWasaidia katika maamrisho.

“Mwenye kupokea toba”…Ambaye bado aNakubali toba ya wenye kutubia, Na aNasamehe madhambi ya wenye kukosea, kila mwenye kutubia Kwa Allah toba ya kweli Allah aNakubali toba yake, yeye Ni Mwenye kupokea toba Kwa wenye kutubia mWanzo kWa kuWafikia kufanya toba Na kuWakubalia, Naye Ni Mwenye kupokea toba baada ya kutubia kWao kWa kuWasamehe madhambi yao.

“Mwenye kupokea toba”… Ambaye aNaWafiki Waja Wake kufanya toba, Na aNaWahimiza katika Hilo, Na aNaWafanya kumpenda Kwa kupitia Hilo.

“Mwenye kupokea toba”… Ambayo aNaikubali kutoka Kwa Waja Wake, Na aNaWathibitisha Kwa hayo, Na aNanyanyua daraja Na aNaWafutia madhambi.Allah Aliyetukuka Na utukufu Wake.

Hakika Allah Ni “Mwenye kupokea toba”….



Tags: