Allah Mwenye kuruzuku

Allah Mwenye kuruzuku

Allah Mwenye kuruzuku

Hakika Allah Ni Mwenye kuruzuku: {Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kuruzuku, Mwenye nguvu, Madhubuti.} (Adh-dhariyat: 58)

“Mwenye kuruzuku”… Ambaye kWake ndio kuNa riziki za Waja Na vyakula vyao, Naye Allah Mtukufu Humkunjulia riziki amtakaye, Na humpimia amtakaye, ambaye kWake pekee ndio kuNapangWa mambo, Na Yeye ndiye Mwenye funguo za mbingu Na ardhi. Amesema Allah Mtukufu {NA HAKUNA mnyama yoyote katika ardhi ILA riziki yake iko Kwa Mwenyezi Mungu. Naye aNajua makao yake Na mapitio yake. } (HUD: 6)

Amesema AllahMtukufu: {Na Wanyama Wangapi haWawezi kujimilikia riziki zao! Mwenyezi Mungu aNaWaruzuku hao Na nyinyi pia. Na Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua. } (Ankabut: 60)

Amesema Allah Mtukufu: {Hakika Mola Wako Mlezi humkunjulia riziki amtakaye, Na humpimia amtakaye. Hakika Yeye Kwa Waja Wake Ni Mwenye kuWajua Na kuWaoNa. } (Al-israi: 30)

Na amesema Allah Mtukufu {Na Mwenyezi Mungu humruzuku amtakaye bila ya hisabu.} (Albaqarah: 212)

“Mwenye kuruzuku”… Kila mtu Ni muhitaji kWake, Na Kwa riziki yake, aNaWaruzuku Watu wote wema Kwa Waovu WA mWanzo mpaka WA mwisho.

“Mwenye kuruzuku”… ANamruzuku aliemkubali Kwa moyo Safi riziki iliyo kamili, Na aNamlisha aliye muomba Kwa elimu Na imaNi, Na aNamsaidia mtu kupata riziki ya halali aNayesaidia katika kutengea Kwa moyo, Na kutengea Kwa diNi Kwa mwenye kutaka.

Hakika Allah Ni Mwenye kuruzuku…



Tags: