Allah Mwenye kutoa Mwenye kuzuia

Allah Mwenye kutoa Mwenye kuzuia

Allah Mwenye kutoa Mwenye kuzuia

Hakika Allah Ni Mwenye kutoa Mwenye kuzuia:

&" Allah Mwenye kutoa, Mwenye kuzuia &" ... HakuNa Mwenye kuzuia Aliyempa Allah, Wala hakuNa Wakumpa aliyenyimWa Na Allah, maslahi yote Na manufaa yote yaNaombWa kWake, Na yake yaNapendWa, Nayeye ndiye aNampatia amtakaye, Na aNamnyima amtakaye kWa hekima yake Na rehema yake.

Sifa zote njema Ni za Allah, Kama alivyojisifu Mwenyewe, kuliko WaNavyomsifu viumbe vyake.

Imamu Ash-shafi

Ewe Allah Mwenye kutoa tWakuomba utupe rehema zako, utupe uNavyotoa, Na utuzuilie mabaya yote Ewe Mwenye kuzuia, Na uizuie Shari Na maovu yasitusibu, Ewe Mwenye kuzuia.

Hakika Allah Mwenye kutoa Mwenye kuzuia…



Tags: