Allah Mwenye kuzuia au kunyima Mwenye kutoa

Allah Mwenye kuzuia au kunyima  Mwenye kutoa

Allah Mwenye kuzuia au kunyima Mwenye kutoa

Hakika Allah Ni Mwenye kuzuia au kunyima Mwenye kutoa...

“Mwenye kuzuia au kunyima” ... ANaWazuilia Watu riziki Ili aWapime Na kuWaonja, Na aNaWanyima wengine Kwa kuWaadhibu, Na aNaWahifadhia wengine Ili aWainue daraja.

“Allah Mwenye kutoa.”... ANakunjua Na kutoa riziki, Na aNatoa maarifa katika kila moyo, yote haya kulingaNa Na hekima yake Na rehema zake Na ukarimu Wake Allah Mtukufu.

Hakika Allah Ni Mwenye kuzuia au kunyima, Mwenye kutoa…



Tags: