Allah ni Nuru

Allah ni Nuru

Allah Ni Nuru

Hakika yeye Ni Allah Nuru: {Mwenyezi Mungu Ni Nuru ya Mbingu Na Ardhi.} (An-nur: 35)

“NURU” Aliyemwilika nuru yake kwenye nyoyo za wenyekumjua Kwa maarifa yake Na imaNi, Na akamwilika vifua vyao Kwa mwongozo Wake.

“Nuru” Aliondoa Giza Kwa nuru yake Na akamwilika mbingu Na ardhi, Na kamwilika njia Kwa wenye kuifuata nyoyo zao

“Nuru” Allah Ni Nuru Na sitara yake Ni nuru, Kama ataifunua tu vingeungua kila kitu ambacho kiNaelekea nuru hio.

Hakika yeye Ni Allah Nuru …



Tags: